🙎‍♂️Kwa Mfanyabiashara Anayetaka Kuongeza Mauzo


Baada Ya Miaka 2+ Ya Kutengeneza Mamilioni Kwa Wateja wangu , Nimekukusanyia Ujuzi wangu Kwenye...


Formula Pekee Unayohitaji Kama Unataka Kuvuna Mamilioni Ya Pesa Kupitia Matangazo Ya Facebook na Instagram....

Imetengenezwa, Kukupa Uwezo wa Kuelewa na Kufanya Matangazo bila Kubahatisha

â–¶MUHIMU: TAZAMA HII VIDEO KWANZA

Nataka Nikupe Zawadi...

Ya Kila Kitu Nilichojifunza Kuanzia Kutengeneza matangazo yaliyowahi kininyima hata Kuuza kwa mtu 1 Mpaka Kuja kufanikiwa kutengeneza mamilioni Ya Wateja wangu kwa kupata Wateja Wengi Zaidi...


Siwezi Kukushawishi zaidi....

jinsi Ambavyo Hii ni FURSA yako Ya Kubadilisha Kabisa Maisha yako,

Ila nipende Kukuhakikishia Kuwa...

Hii ni FORMULA niliyoitengeneza kwa kukusanya Ujuzi wangu Wote

Kuanzia Kutengeneza TZS 0 Kwenye matangazo

Mpaka kutengeneza Mamilioni kwa wateja wangu..

ili kukufanya kuwa Mtu asiyebahatisha kabisa Kwenye Ufanyaji wa matangazo


▶Haijalishi kama hujawahi kupata hata shilingi moja mtandaoni…


â–¶Haijalishi Kama Hujawahi Kutumia Facebook na Instagram Kuuza Bidhaa/Huduma yako


â–¶Haijalishi kama unatumia Milioni kwa mwezi kwenye matangazo (tunaweza kukusaidia Kuongeza zaidi)!


â–¶Haijalishi kama wewe si mtaalamu wa Social Media marketing (mradi unaweza kubofya na kuchagua, basi tayari uko mbele kwenye game)!


Kiufupi Hata Kama Hujui Chochote kuhusu kuuza Bidhaa/Huduma zako Kwenye Facebook na instagram basi huu ndiyo Muda wako wa kbadilisha maisha yako kabisa...





CASS FORMULA...

Hiiki Siyo Kitabu... Siyo Ebook... Wala Siyo chochote umewahikukisikia...

Huu ni mfumo unaoweza kubadilisha maisha yako kiujumla kupitia biashara yako kwenye Mitandao ya Facebook na Instagram...

Utapata Videos, PDFS, Tutorials, Mifumo n.k

Humu Ndani Utajifunza haya...


,👉Jinsi Unavyoweza Kunasa Wateja wengi na kushinda washindani Bila Kulipia Mtangazo


👉 Jinsi ya Kumtengeneza Mteja wa Pekee Yako, Hapa Utapata mteja ambaye utamuuzia wewe tu hakuna mtu atampata zaidi yako


👉Siri Zinazotumia na 2% pekee ya wafanyabiashara wa Facebook na Instagram wenye mafanikio makubwa


👉SIRI 2 za Kujenga Wateja Wenye Nguvu ya Kukuletea Wateja Wengi, Ili Kuongeza mauzo na kupata wateja wasio na kona kona


👉SIRI za Kuendelea Kuwa Bora Mpaka Kesho Kwenye Biashara yako Mtandaoni, Siri Zinazotumiwa na manguli wa biashara Mtandaoni


👉 Mambo ya kuzingatia ili kuwa bora kwenye kusimamia matangazo, Bila haya Huwezi Kufanikiwa kabisa kwenye Matangazo


👉Jinsi ya Kufanya Matangazo Yasiyoweza Kukupa Madeni Kabisa kwa Bei Nafuu


👉Jinsi Ya Kufanya SETUP ya Tangazo Inayoleta Matokeo BORA, Kuwatafuta na Kuwapata Wateja Wasio na Kona kona (ASE MASTERY Formula)


👉Jinsi Mchakato wa MATANGAZO Unavyofanya kazi (SIRI za Kufanya Tangazo Bora zaidi)


👉Jinsi ya Kupima Matokeo ya Tangazo Bora na Baya (META ADS METRICS FOUNDATIONS)


👉 Hatua 8 Za Kuuza Bila Kupata Kipingamizi chochote Kutoka kwa Mteja Kwenye Simu


👉 Jinsi Ya Kuuza Kitu Chochote Kwa Mtu yeyote, Muda Wowote Bila Kipingamizi


👉 Formula Ya Kuuza Kwa Haraka Kwa Kila Mteja  anayekutafuta Kwenye simu (PVC Framework)


👉Mbinu 3 za SIRI za Kuuza Kwa kila Mteja MPYA (3 Golden Skills)


👉 SILAHA 10 za Kukabiliana NA Wateja wenye Konakona (Objections Fired Out)


👉Njia za Kufuatilia mauzo yako kwa wateja bila kuonekana msumbufu ( COVA- Golden Follow Up Ways)

Common.Elements.Image.Web

Siyo Hayo Tu Bali...

Utapewa BONASI za BURE Zaidi Ya 20 ....


  • Template: Templates Za Bio - Facebook & Instagram- Hii itakusaidia kuandika bio bora inayoweza kunasa wateja kiurahisi...Thamani Yake ni TZS 25,000/=


  • Template: Ratiba Ya Maudhui Ya Wiki- Hii itakusaidia kuandaa contents za wiki nzima bila kuishiwa kabisa ...Thamani yake ni TZS 35,000/= 


  • Template: Ripoti Ya Mauzo Ya Mwezi-Hii itakusaidia kujua kiasi gani umetumia na umeingiza kiasi gani kwenye biashara yako kimauzo...Thamani yake ni TZS 35,000/=


  • Template: Templates Za Matangazo(Ad Copy)-Hii itakusaidia kucopy na kupaste Caption za matangazo bora zaidi ili kuongeza mauzo Kiurahisi unapofanya matangazo....Thamani yake ni TZS 40,000/=


  • Script: Muongozo Wa Kuzungumza Na Mteja- Hii itakupa muongozo wa kunasa watejakiurahisi kupitia mazungumzo ya kimakakati... Thamani yake ni TZS 55,000/=


  • Script: Jinsi ya Kuwapandishia bei Wateja wa Zamani- Hii itakusaidia kupandisha bei yako kwa wateja wa zamani ili uongeze mapato yako zaidi kiurahisi sana...Thamani Yake Ni TZS 55,000/=


  • Script: script za Kukabiliana na Vipingamizi wakati wa kuuza-Hii itakusaidia Kufunga mauzo bila kupokea kipingamizi kabisa kutoka kwa mteja, sijui nitarudi, sina hela, hapa lazima anunue tu..Thamani yake ni TZS 55,000/=


  • Script: Scripts Za Kuomba Testimonial- Hii itakusaidia Kuomba ushuhuda kwa wateja wako ili utumie kuongeza uaminifu zaidi kwa wateja wapya ili kuuza bila stress kabisa...Thamani yake ni TZS 55,000/=


  • Script: Script Ya Kuuza Haraka Kwa Mteja Unayempigasimu (Sales Call Script)- Hii itakusaidia kupiga simu na kufunga mauzo kwa kila mteja nayempigia simu bila shida yoyote wala kipingamizi ...Thamani yake ni TZS 55,000/=


  • Swipe File: 100 Powerful Call To Action For Engagement & Scales- Hapa utapata maneno yenye nguvu zaidi ya kumfanya mteja afanye Unachotaka wewe bila shida ....Thamani yake ni TZS 35,000/=


  • Swipe File: Maswali 100 Ya Kuongeza Engagements Na Wafuasi-Hii itakupa maswali ya msingi ambayo yatakuwezesha kupata comments nyingi kwenye matangazo hata post zako tu hivyo kuweza kwenda VIRAL...Thamani yake ni TZS 35,000/=



  • Swipe File
    :
    Captions za Kutumia wakati wa  Promotions-
    Hii itakusaidia kupata maneno ya kutumia wakati wa kufanya promotion ili wateja waijue na kuipenda bidhaa au huduma yako....Thamani yake ni TZS 35,000/=



  • Swipe File: Headlines Zinazofanya Vizuri Kwenye Matangazo Facebook & Instagram - Hii itakurahisishia kupata HEADLINE zinazoweza kushika Attention ya mteja na Akatazama vizuri tangazo lako ili anunue bidhaa yako au huduma...Thamani yake Ni TZS 35,000/=


  • Tool Collection
    :
    Tools Za Kurahisisha Contents Creation Process-
    Hii itakusaidia Kuweza kutengeneza POST zako nyingi unazopenda bila kutumia nguvu wala muda sana....Thamani Yake Ni TZS 25,000/=


  • Checklist: Mbinu za Kutengeneza Ad Creatives Zinazovutia Zaidi- Hii itakupa muongozo wa kutengeneza Picha/Video ya tangazo ambayo haiwezi KURUKWA na Mteja wako kabisa..Thamani yake ni TZS 25,000/=


  • Checklist: Kufanya Optimization Ya Facebook & Instagram Accounts- Hii itakusaidia kutengeneza Muonekano mzuri wa Account zako ili kuweza kunasa wateja kiurahisi wakija kwenye account yako tu....Thamani yake ni TZS 25,000/=


  • Checklist: Kuandaa Maudhui Ya Kuongeza Mauzo Mtandaoni-Hii itakusaidia kuwa mtaalamu wa kutengeneza post zako zenye uwezo kwa kuuza bila kuzilipia hata matangazo kabisa....Thamani yake ni TZS 25,000/=


  • Ebook
    :
    Jinsi ya kuwafanya Watu wanaokutana na Post zako wakuzingatie zaidi-
    Hii itakusaidia kutengeza Followers wanaokusapoti sana hivyo unaweza kuwauzia kiurahisi bila shida yoyote...Thamani yake ni TZS 15,000/=


  • Ebook
    :
    Siri 3 zinazokufanya Upoteze pesa zako au upate matokeo mazuri kwenye Matangazo-
    Thamani Yake ni TZS 15,000/=


  • Ebook
    :
    Mbinu za Kuwafanya Wateja Wasome Zaidi Tangazo Lako (Swipe Stopper)-
    Hii itakusaidia kufanya wateja wengi wakuzingatie sana na kufanya unachotaka wewe tu kwenye tangazo lako....Thamani yake ni TZS 25,000/=


  • Recorded Master Class (Biashara Kidigitali Vol.01)- Hii itakusaidia kujua vitu vingi sana kuhusu biashara mtandaoni ambvyo umedanganywa mda mrefu sana...Thamani yake ni TZS 50,000/=


  • Recorded Master Class(Biashara kidigitali Vol.02)-Hii itakupa picha kamili kitu gani ufanye ukiwa kwenye biashara ya mtandaoni ili uendelee kupiga pesa zaidi...Thamani yake ni TZS 50,000/=


  • Crash Course: Kujifunza jinsi ya Kudesign graphics kwa kutumia Canva- Hii itakurahsishia kutengeneza picha au video zako za matangazo au post za kawaida kiurahisi bila kumlipa mtu wa kucopy za wengine....Thamani yake ni TZS 100,000/=


JUMLA: TZS 905,000/=

Common.Elements.Image.Web

Kwanini Uniamini Mimi?...

Haya Ndiyo Yanasemwa na wale waliopata bahati YA Kufanya Kazi na Mimi...

Common.Elements.Image.Web

Pengine Bado Unajiuliza Haya Maswali,

❓Vipi Isipoenda kunisaidia Kupata Matokeo Yoyote?...Naaam, Kama Umejipanga kutokupata matokeo Basi haiwezi kabisa Kukusaidia, Maana Umeshajipanga kutokupata Matokeo...Achana Nayo Kabisa


❓Hii Ni Maalumu kwa wanaoanza au Ambao ni Wataalamu Kabisa? Naam, hii Ni Kwa ajili yako ambaye hujui chochote, wewe unayejua lakini unataka kuongeza ujuzi zaidi na hata wewe Unayefanya na hupati matokeo mazuri, Hii ni ya kwako


❓Nikilipia sasa hivi nitaipataje? Utapewa Link maalumu za Kukufikisha katika madarasa yetu + Bonasi na utakuwa nayo MILELE hakuna Ukomo wa kujifunza


❓Kuna GUARANTEE? Ndiyo, Naku guarentee kuwa ukiendelea na njia unazo tumia sasa hivi utaendelea kuwa Hapo hapo, Unless kama unataka kujitoa hapo unahitaji hii SILAHA pekee


❓Unanihakikishia Vipi Matokeo? Usipopata Wateja Zaidi ya 400 kwa Siku 90 tu, Utarudishiwa gharama zako Zote, na Tutakusaidia BURE Miezi 3 Kufikia malengo yako.

Common.Elements.Image.Web


Copyright 2025, Joram Mtanzania. All rights reserved.

Tovuti hii si sehemu ya tovuti ya Facebook™ au Facebook™ Inc. Vilevile, tovuti hii HAIDHAMINIWI na Facebook™ kwa namna yoyote. FACEBOOK™ ni alama ya biashara ya FACEBOOK™, Inc.

Common.Elements.SocialMedia.DefaultAltText.Facebook
Common.Elements.SocialMedia.DefaultAltText.Twitter
Common.Elements.SocialMedia.DefaultAltText.Instagram
Common.Elements.SocialMedia.DefaultAltText.YouTube
GetResponse